Jumatatu, 2 Septemba 2013

Morsi sasa kitanzini;

Aliyekua raisi wa misri Mohamed morsi yupo kitanzini sasa kutokana na hali ngumu aliyo nayo sasa baada ya kufunguliwa kesi ya uchochezi wa mauaji ya waandamanaji decemba 4 .Inasemekana kuwa waandamanaji hao walikua wanapinga mamlaka makubwa aliyo jitunuku raisi huyo.Lakini morsi aliamuru waafuasi wake kuwazuia waandamaji hao nje ya ikulu yake na kupelekea watu saba kufariki dunia.
Morsi ambaye anaugwa mkono na kundi la vuguvugu la muslim brotherhood ambao nao wanamashitaka sawa naya raisi huyo. 
   Raisi huyu ambaye sasa amefichwa sehemu ambayo haijulikana hii ndio mara yake ya kwanza kwa shitaka hilo kusomewa tangu ang'atuke madalakani. Maakama hio ilisema Morsi anashtakiwa kwa kuchochea mauaji na ghasia mnamo mwezi Disemba mwaka 2012.

:hawa ni baadhi ya wafuasi wa mohamed morsi wanaoandamana ili kiongozi huyu aweze kuachiwa huru bila mashitaka yoyote.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni